Isaiah 8:14-15


14 anaye atakuwa mahali patakatifu;
lakini kwa nyumba zote mbili za Israeli atakuwa
jiwe lile linalosababisha watu kujikwaa
na mwamba wa kuwaangusha.
Kwa watu wa Yerusalemu,
atakuwa mtego na tanzi.

15 bWengi wao watajikwaa;
wataanguka na kuvunjika,
watategwa na kunaswa.”

Copyright information for SwhKC